Minister for Information,
Youth, Culture and Sports, Dr Fenella Mukangara, visited the head office
of Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN) in Dar es Salaam where
she hailed the company for operating profitably.
The minister also showered praise on TSN as among the few public
entities that do not depend on the Treasury coffers to go about its
business but rather generate its own income, pay requisite taxes and pay
dividends to its majority and only shareholder, the government.
She was also happy that although it was operating independently
without subsidies from the government, TSN has been able to stand out
firm in the highly competitive media industry for many years now. On the
professional front, touting the state-owned publisher as the market
leader for observing high level of professionalism, she urged TSN to
continue setting the pace when it comes to moral standards for others in
the industry to emulate.
In today's media industry, thanks to the freedom of speech and
expression, a number of newspapers, radio and television stations have
been established. However, unlike the electronic media a number of
newspapers end up folding shortly after few publications and this is due
to the competitive nature of the market.
Thus, for a company as old as TSN to continue dominating the market
it is for sure, worth praises. What is even worse for the print media is
the coming into the scene of social media where information is relayed
on real time basis. It is because of these factors that newspapers are
now ought to be creative and adhere to professionalism.
Most of the newspapers died a natural death because they do not
adhere to professionalism and thus feed readers biased information or
about generally insignificant matters that have no influence in the
society. Dr Mukangara did not mince words on the need to adhere to
professionalism.
She was clear that even as the objective of establishing TSN was to
promote and propagate government policies, publications should not avoid
constructive criticisms aimed at correcting the status quo. It is thus
high time for the media in the country to embrace professionalism and
patriotism towards the building of better Tanzania of tomorrow.
Source : http://allafrica.com/stories/201301300081.html
Loading...
Home » Archives for January 2013
RAI YA JENERALI : Hii ni harufu mbaya tu, Ibilisi bado hajaenda msalani
BAADHI ya masuala ambayo nimekuwa nikiyajadili yanajitokeza hivi sasa kwa mshindo mkuu.Nimekuwa nikisema kwamba tunajitahidi mno kujenga taifa dogo ndani
ya nchi kubwa. Hili linadhihirika sasa. Nimekuwa nikisema pia kwamba
tunaonekana kuwa na haraka ya kufanya mambo kama vile tunakwenda
kwingine, hapa si kwetu na wala hatujafika. Hili nalo linajionyesha.
Hivi sasa tumetekwa na kelele zinazopigwa kuhusu gesi asilia
inayochimbwa kusini mwa Tanzania, na tayari tumeanza kuona dalili za
nchi kuparaganyika kutokana na ‘utajiri’ huo.Tunachokishuhudia si mjadala wa jinsi gani tunaweza kunufaika kama
taifa kutokana na gesi inayochimbwa nchini ( na pia utajiri mwingine
unaotokana na rasilimali za nchi) bali ni ghadhabu za makundi hasimu
yanayokinzana kuhusu namna ya kugawana kidogo tulicho nacho.
Kwa muda sasa, wataalamu duniani wamekuwa wakijadili kile kinachoitwa
‘resource curse’, au laana ya rasilimali. Hii ni laana ya nchi kama
yetu ambazo zinajikuta zikiwa na rasilimali kubwa, lakini badala ya
rasilimali hizo kuzinufaisha nchi hizo inageuka kuwa ni balaa, laaana.
Hili ndilo linaelekea kutokea hapa nchini.Bado hatujui kwa uhakika ni kiasi gani cha gesi asilia tulicho
nacho. Nimesoma mahali kadhaa kwamba gesi hii ni nyingi mno na inaweza
ikaifanya Tanzania kuwa mojawapo ya nchi zenye machimbo ya gesi makubwa
duniani. Bila shaka hilo lingekuwa jambo jema kwa nchi inayoendeshwa
kwa utaratibu unaoeleweka na inayojadili masuala muhimu kwa uwazi wa
kutosha.
Kwa bahati mbaya, hii si kweli. Tumekuwa tukishuhudia usiri
unaogubika mikataba juu ya rasilimali nyingine kwa muda mrefu sasa, na
hakuna dalili kwamba tutaanza kesho au keshokutwa kuwa wawazi zaidi.Hadi leo serikali inakataa kuanika hadharani maudhui ya mikataba
inayoingia kwa niaba ya Watanzania, na serikali ikiulizwa inajibu
kwamba mikataba hiyo ni siri baina ya serikali na ‘ wawekezaji.’
on
Mancini 'sad' about Balotelli sale ; IS IT TRUE??
Roberto Mancini admits a move to AC Milan was the best option for Mario
Balotelli, with the striker set to join the Italian club on a
four-and-a-half year deal.It appears Balotelli, 22, has completed a medical with Milan and will
move to the San Siro on Wednesday, although a formal contract is yet to
be signed.
Following City's 0-0 draw with QPR in the Premier League on Tuesday, Mancini conceded it was a tough decision to let Balotelli go, although he insists the Italy international will benefit from playing in his home country.
"We are also sad because Mario was an important player for us," Mancini said. "With Mario we won the Premier League and the FA Cup in two years. But it's important for him to go back to Italy.
"It will be a good chance for him to stay with his family, to play for Milan. I think he can improve and I'm happy he will become one of the best players in the world.
"We love Mario and he deserves to have this chance. For me, no [he was not a problem]. Mario was like another one of my children. But you can be upset with him sometimes, but afterwards he's a lovely lad. When he left the hotel, they [the players] were really sad. Mario is a good guy."
Read more at http://www.espn.co.uk/football/sport/story/190801.html#eRrdljv58wKio67f.99
Following City's 0-0 draw with QPR in the Premier League on Tuesday, Mancini conceded it was a tough decision to let Balotelli go, although he insists the Italy international will benefit from playing in his home country.
"We are also sad because Mario was an important player for us," Mancini said. "With Mario we won the Premier League and the FA Cup in two years. But it's important for him to go back to Italy.
"It will be a good chance for him to stay with his family, to play for Milan. I think he can improve and I'm happy he will become one of the best players in the world.
"We love Mario and he deserves to have this chance. For me, no [he was not a problem]. Mario was like another one of my children. But you can be upset with him sometimes, but afterwards he's a lovely lad. When he left the hotel, they [the players] were really sad. Mario is a good guy."
Read more at http://www.espn.co.uk/football/sport/story/190801.html#eRrdljv58wKio67f.99
on Tuesday, January 29, 2013
Profesa Ndulu ataka BoT isiingiliwe na wanasiasa.
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu
amependekeza Katiba Mpya iweke kinga ambayo itailinda benki hiyo ili
ifanye kazi zake bila kuingiliwa na mambo ya kisiasa.
Aidha, amependekeza Katiba Mpya itenganishe
mamlaka zinazotoa na zile zinazotumia fedha ili kila moja ifanye kazi
zake kwa kujitegemea, huku pia akitaka kinga zinazolinda shughuli za
kibenki zitambulike kikatiba na si kuwepo kwenye sheria za Bunge.
Alisema benki zinapaswa kutoa fedha kwa kiwango maalumu bila kuzizidisha kwa ajili ya kuimarisha uchumi.
Akizungumza Dar es Salaam jana muda mfupi baada ya kuwasilisha maoni ya BoT kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Ndulu alisema umefika wakati BoT ikajengewa uwezo wa kufanya shughuli zake bila kuingiliwa na wanasiasa.Profesa Ndulu alisema endapo BoT itawekewa kinga itakuwa na uwezo wa kufanya kazi zake vizuri zaidi.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1677998/-/11rqlh9/-/index.html
Akizungumza Dar es Salaam jana muda mfupi baada ya kuwasilisha maoni ya BoT kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Ndulu alisema umefika wakati BoT ikajengewa uwezo wa kufanya shughuli zake bila kuingiliwa na wanasiasa.Profesa Ndulu alisema endapo BoT itawekewa kinga itakuwa na uwezo wa kufanya kazi zake vizuri zaidi.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1677998/-/11rqlh9/-/index.html
on
Kinana: Serikali iwasikilize wananchi wa Mtwara
SAKATA la gesi sasa limeingia hatua mpya, baada ya watendaji
wakuu wa CCM; Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na
Uenezi, Nape Nnauye kuitaka Serikali ikae na wana-Mtwara ili kuona namna
ya kumaliza mgogoro huo kwa amani.Kinana na Nape walitoa kauli hizo kwa nyakati
tofauti jana. Wakati Kinana alisema hayo alipokuwa akizungumza katika
mkutano wa hadhara mkoani Kigoma, Nape alifanya hivyo kupitia mtandaowa
Twitter na baadaye kuthibitisha kauli hiyo alipoulizwa na mwandishi
wetu.
Wakati watendaji hao wa CCM wakitoa matamko hayo, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alifanya vikao mfululizo mkoani Mtwara akisaka suluhu ya mgogoro huo.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Uvinza, Kigoma, Kinana aliitaka Serikali isikilize hoja za wakazi wa Mtwara na kuzitafutia usumbufu sahihi.Mbali na kutoa ushauri huo, aliitaka pia Serikali kuwasaka watu wanaochochea mgogoro huo kwa kufanya vurugu na kuharibu mali za watu na kuwafikisha mbele ya sheria.
“Serikali ikae na wana-Mtwara na kuwasikiliza, wananchi hao wana hoja na Serikali inapaswa kutoa majibu sahihi kwa hoja hizo. Lakini pia iwasake na kuwachukulia hatua za kisheria waliosababisha uvunjifu wa amani,” alisema Kinana.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1678154/-/11rr4f4/-/index.html
on
Vikao Vya Bunge Kuanza Kesho
WAKATI Kikao cha Kumi cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania kinatarajiwa kuanza kesho, Wabunge watano wamejitokeza
kuwasilisha hoja binafsi katika kikao hicho.
Mbunge wa Mkanyageni (CUF), Zanzibar Habib Mnyaa
anakusudia kuwasilisha maombi ya wakazi wa Mkoa wa Mtwara kupinga gesi
iliyogundulika mkoani humo kusafirishwa kwenda jijini Dar es Salaam.
Naye Waziri Kivuli wa Habari, Vijana,Utamaduni na
Michezo Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ alisema atawasilisha hoja binafsi kutaka
kujua fedha zinazotumika kulipia vipindi vya runinga vinavyoelezea
mafanikio ya Serikali.Mbilinyi ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini
(Chadema) alisema atafanya hivyo ili kujua fedha hizo zinalipwa na nani
kwa malengo gani.
Kwa upande wake, Mbunge wa Iramba Magharibi (CCM),
Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuwasilisha hoja ya kuitaka Serikali
kupeleka bungeni muswada wa sheria, wa kuanzisha Mfuko wa Elimu ya Juu.
Lengo kuu ni kuhakikisha kila mwanafunzi aliyepata nafasi ya kujiunga na
elimu ya juu anakopeshwa kwa asilimia 100.Naye Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii,
Mchungaji Peter Msigwa anatarajiwa kuwasilisha hoja binafsi kutaka Bunge
liunde Tume ya kuchunguza vitendo vya ujangili vinavyoendelea hapa
nchini.
Kwa upande wake Mbunge wa Msoma Mjini (Chadema),
Vincent Nyerere atawasilisha hoja binafsi kuhusu matukio ya kigaidi na
mauaji holela ya raia wasio na hatia yanayotokea hapa nchini.Nyerere alisema hivi sasa vitendo vya mauaji
vinaendelea, utasikia polisi kauawa na wananchi au wananchi wamemuua
polisi lakini hakuna hatua zaidi.Analitaka Bunge kutoa maadhimio kuhusu
vitendo hivyo vinavyohatarisha usalama wa raia na mali zao.
Chanzo Gazeti la Mwananchi.
on
Chadema yajipanga kwenda Ikulu 2015
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza mkakati wa
kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 ili kukiwezesha
kuingia Ikulu.
Kimesema kitatekeleza hatua hiyo pia kwa kufanya
uchaguzi wa kuwapata viongozi wake wapya akiwamo mwenyekiti wa taifa,
uchaguzi utakaofanyika ndani ya mwaka huu. Hata hivyo, tarehe, mwezi na
ratiba kamili ya uchaguzi huo itatolewa baadaye.Kujipanga kwa chama hicho sambamba na kujenga hoja
kulithibitika pia katika Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
mwaka jana mkoani Dodoma, baada ya mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete
kuwataka mawaziri na makada wa chama hicho kufanya mikutano ya hadhara
na kutumia vyombo vya habari kujibu hoja za wapinzani, badala ya
kutegemea nguvu za Jeshi la Polisi.Katika mkutano huo, Rais Kikwete alimtaja wazi
Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa, akidai kuwa aliwahi
kumzulia uongo pamoja na mwanaye Ridhiwani.Rais Kikwete alisisitiza kuwa hiyo ndiyo kazi ya
upinzani, akiwaita watu wazima ovyo na kudai kwamba wanasema uongo mbele
ya wananchi na kwamba hata wakati mwingine hunukuu takwimu za uzushi
kwenye vyombo vya habari.
Habari zaidi soma : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Siasa/-/1597332/1676464/-/bo2cgpz/-/index.html
on
Swansea 2 Chelsea 0 ; Semi final Capital One Cup
Swansea won at Chelsea for the first time in 87 years to head into the
Capital One Cup semi-final second leg with a precious two-goal
advantage. Final will be Bradford City Vs Swansea City Capital One Cup Final at Wembley Stadium, London on 24th February 2013.
Does Chelsea Current Team manager Remember this???
Swansea City Vs Bradford City on 24 Feb 2013 Wembley Stadium |
on Thursday, January 24, 2013
SWAGA ZA WADADA
SWAGA ZA WADADA ZETU ILI WAONEKANE
NAO WAMO HASA WAKITOKA USWAZI WAKAWA WAMENDA OUT MITAA YA USHUANI;
1. Halima………muhudumu naomba unilete
salad ya moto, na chupa ya Amarula.
2. Chausiku…..nipe PIN yako niwe nakupigia
2. Chausiku…..nipe PIN yako niwe nakupigia
3. Siwema….nimechokaje,
nimeshinda Shoprite natengeneza
nywele
4. Gulo….Boifrend wangu kanambia likizo ya summer mwaka huu tutago London tukale Chrismas
4. Gulo….Boifrend wangu kanambia likizo ya summer mwaka huu tutago London tukale Chrismas
5. Cynthia…Nimenunua BlackBerry wamenambia PIN nikaipitie
kesho
6. Fulo....Mi napendaga kusafiri
na Presishen, napenda viti vya dirishani, mtu unakaa unafungua kioo chako hewa
safiii mpaka mwisho wa safari.
7. Fatuma….kiukweli mi niliipenda
London kuliko UK.
on
Tibaijuka atenganisha Mji wa Kigamboni na Temeke
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna
Tibaijuka ameanzisha Wakala wa Kuendeleza Mji wa Kigamboni (KDA). Kwa
maana hiyo, mji huo hautakuwa tena chini ya mamlaka ya Manispaa ya
Temeke.Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam
jana, Profesa Tibaijuka alisema Serikali imeamua kuanzisha wakala huo
ili pamoja na mambo mengine, upange na kusimamia ujenzi wa mji wa kisasa
katika eneo hilo.“KDA imeanzishwa chini ya Sheria ya Wakala wa
Serikali ya 1997 ili iweze kuhakikisha mji unajengwa na unakuwa bora,”
alisema Profesa Tibaijuka.Alisema kutokana na kuanzishwa kwa KDA, kata zote
za Kigamboni, zitaungana na madiwani wake pamoja na mbunge wao watakuwa
wakikutana katika Baraza la Ushauri la KDA.“Kutakuwa na Baraza la
Kigamboni ambalo madiwani na mbunge wao wataingia humo kujadili
maendeleo ya mji huo na leo (jana), kutakuwa na kikao cha kwanza,”
alisema Profesa Tibaijuka.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1673740/-/11rnri0/-/index.html
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1673740/-/11rnri0/-/index.html
on
Mkapa ajitosa sakata la gesi.
RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameelezea
kufedheheshwa kwake na mgogoro wa gesi, huku akiwataka wananchi na wadau
wa maendeleo wa Mkoa wa Mtwara kusitisha harakati za maandamano na
mihadhara.Mkapa alitaka wakazi hao kuacha kulumbana na Serikali
kuhusu suala hilo, badala yake wajiandae kukaa meza moja nayo kutafuta
mwafaka kwa njia ya amani.
Katika tamko lake alilolitoa Dar es Salaam jana,
Mkapa alisema: “Fujo, vitisho, kupimana nguvu na malumbano siyo masharti
ya maendeleo.“Nikiwa kama mwana - Mtwara na raia mwema, mpenda
nchi, nimefedheheshwa sana na matukio haya ya siku za karibuni Mtwara.
Kwa sababu hiyo natoa wito kwa wadau wote wa maendeleo ya Mtwara,
kusitisha harakati hizi na maandamano na mihadhara.
“Badala yake wajipange kukaa pamoja katika meza
moja, kupitia historia, kutathmini mipango, kuchambua kwa kina mikakati
ya utekelezaji wake, hatimaye kufikia mwafaka wa ujia wa maendeleo.
Liwezekanalo leo lisingoje kesho.”Mkapa alisema mwenendo wa mazungumzo, maandamano
na mikutano ya hadhara inayoendelea mkoani Mtwara, inaelekea kuashiria
kuvunjika kwa amani hali aliyosema kuwa inajenga kutokuelewana kati ya
viongozi wa vyama vya siasa na Serikali, wananchi na vyama vya siasa na
wananchi na viongozi wa Serikali.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1672020/-/11rmwmu/-/index.html
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1672020/-/11rmwmu/-/index.html
on
Tanzania hailed for speedy ICT advance
South
Korea Deputy Speaker, Park Byeong-Seug yesterday applauded the
Tanzanian government for its effort and achievements in developing the
information technology sector via the nation’s vocational institutes.Speaking in Dar es Salaam yesterday, shortly after paying an
official visit to the Kipawa Institute of Communication Technology
(KIICT) which is under the Vocational Education Training Authority
(VETA), Byeong-Seug said he was surprised at how fast Tanzania is
improving in the sector of technology.
“Am pleased to be in Tanzania, witnessing these subtle but fast technological developments…” he said. Despite the many challenges facing the country, he acknowledged
that Tanzania has managed to provide technological education to its
people in many ways.As he toured the various KIICT workshops, he pledged to convene
with respective government officials in South Korea for financial
support for the development of ICT in rural communities in the country.“We will also see how we can focus on instructors and management
members’ training so as to increase their number and capacities… ’
pledged the deputy speaker.
on Monday, January 21, 2013
Moto wa gesi wazidi kushika kasi Mtwara.
SAKATA la kupinga ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda
Dar es Salaam limechukua sura mpya baada ya wananchi zaidi ya 30,000
kusaini katika fomu maalumu kupinga gesi hiyo kusafirishwa.Wakati wananchi hao wakikamilisha shughuli hiyo na
kukabidhi fomu hizo kwa wabunge wa Chama cha Wananchi (CUF), umoja wa
vyama tisa vya siasa mkoani umemwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha
mradi huo ili kuepusha uvunjifu wa amani unaoweza kujitokeza.Pia,
umoja huo umewataka wabunge wote wa Mkoa wa Mtwara kutangaza msimamo wa
kila mmoja juu ya gesi kwenda Dar es Salaam au kukubaliana na uamuzi wa
Serikali ili wajue nani msaliti kwao.
Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika
jana katika Uwanja wa Sabasaba mjini hapa, viongozi hao kwa nyakati
tofauti wamemtaka Rais Kikwete kutokutumia ‘jazba na mabavu’ katika
kulipatia suluhu jambo hilo, badala yake busara zitawale kwa kusitisha
mradi huo.“Sisi Watanzania hatujazoea vita, bali tumezoea kupata
hasara… katika hili naomba Kikwete akubali kupata hasara kama
tunavyokubali hasara nyingine…Sisi wananchi tupo radhi tuingie kwenye
deni kubwa kama hilo, lakini gesi haiwezi kwenda Dar es Salaam,” alisema
Uledi Abdallah Makamu, Mwenyekiti wa umoja huo na kuongeza:“Hizo trilioni tatu kama anaona hawezi kuzilipa
iwapo gesi itabakia Mtwara...Basi atafute njia nyingine za kulipa…
Atambue kuwa hakuna fedha yenye thamani ya amani na utulivu
wetu…akumbuke kuwa mafahali wawili hawakai zizi moja.”Naye Mwenyekiti wa
Chadema Wilaya ya Mtwara Mjini, Mustafa Nchia aliwataka wabunge kutoa
misimamo yao ili wananchi wajue ni mbunge yupi anawaunga mkono na yupi
msaliti kwao.
Soma Zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1671038/-/11rm8cs/-/index.html
Soma Zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1671038/-/11rm8cs/-/index.html
on Sunday, January 20, 2013
Obama Aapishwa Rasmi.
RAIS Barack Obama wa Marekani ameapishwa rasmi kushika muhula wa
pili wa urais, katika sherehe maalumu iliyofanyika kwenye Ikulu ya nchi
hiyo jana.
Obama ambaye ni Rais wa 44 wa Marekani, aliingia
madarakani katika uchaguzi wa kihistoria mwaka 2008 uliomfanya kuwa Rais
wa kwanza mwenye asili ya Afrika katika taifa hilo kubwa duniani.Sherehe za kuapishwa kwake Ikulu jana zilikuwa za
faragha na zilihudhuriwa na watu wachache maalumu, leo ataapishwa katika
sherehe za jumla zitakazowajumuisha watu wote kwenye Uwanja wa National
Mall.
Katika kiapo chake, Obama atatumia Biblia mbili,
moja iliyokuwa ikitumiwa na Martin Luther King na nyingine ilikuwa
ikitumiwa na aliyekuwa Rais wa 16 wa Marekani, Abraham Lincoln.
Lincoln aliongoza taifa hilo kuanzia Machi 1861 hadi alipouawa Aprili 1865.
Akiwa Ikulu jana, alitumia Biblia iliyowahi kutumiwa na Lincoln, katika sherehe za leo atatumia Biblia ya Martin Luther King.Lincoln, ndiye aliyeliongoza taifa hilo kipindi kigumu cha kusimamia umoja na kufuta biashara ya utumwa.Martin Luther King ambaye alikuwa mchungaji na mwanaharakati wa haki za watu wenye asili ya Afrika nchini Marekani, aliuawa Aprili 4, 1968, muda mfupi baada ya kutoa hotuba yenye nguvu ya I have a Dream (Nimeota ndoto).Hotuba hiyo ikuwa ikieleza ndoto yake kwamba muda siyo mrefu watu wenye asili ya Afrika watapata nguvu na kupata haki yao kama raia wa Marekani.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kimataifa/-/1597284/1671080/-/14b41t5z/-/index.html
Lincoln aliongoza taifa hilo kuanzia Machi 1861 hadi alipouawa Aprili 1865.
Akiwa Ikulu jana, alitumia Biblia iliyowahi kutumiwa na Lincoln, katika sherehe za leo atatumia Biblia ya Martin Luther King.Lincoln, ndiye aliyeliongoza taifa hilo kipindi kigumu cha kusimamia umoja na kufuta biashara ya utumwa.Martin Luther King ambaye alikuwa mchungaji na mwanaharakati wa haki za watu wenye asili ya Afrika nchini Marekani, aliuawa Aprili 4, 1968, muda mfupi baada ya kutoa hotuba yenye nguvu ya I have a Dream (Nimeota ndoto).Hotuba hiyo ikuwa ikieleza ndoto yake kwamba muda siyo mrefu watu wenye asili ya Afrika watapata nguvu na kupata haki yao kama raia wa Marekani.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kimataifa/-/1597284/1671080/-/14b41t5z/-/index.html
on
Wabunge waanza kujiandikisha JKT.
WABUNGE vijana katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
wameanza kujiandikisha tayari kwa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa
(JKT) kwa Mujibu wa Sheria kwa ajili ya mafunzo yatakayoanza Machi mwaka
huu.Taarifa ambazo Mwananchi Jumamosi ilizipata juzi,
zimeeleza kuwa, idadi ya wabunge ambao tayari wamejiandikisha kujiunga
na JKT hadi sasa ni zaidi ya 31, huku wengine wakiendelea.
Kujiandikisha kwa wabunge hao ili wajiunge na JKT
kunafuatia wito uliotolewa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga
Taifa, Shamsi Vuai Nahodha, Julai mwaka uliopita, alipowasilisha hotuba
ya bajeti ya wizara yake katika Bunge la Bajeti mjini Dodoma.
Kwa nyakati tofauti wabunge vijana kutoka CCM,
Chadema na NCCR- Mageuzi walilithibitishia gazeti hili kuwa tayari
wamejiandikisha katika Ofisi ya Katibu wa Bunge kwa ajili ya mafunzo
hayo.Imebainishwa kuwa, miongoni mwa wabunge
waliojiandikisha, wamo pia ambao waliwahi kupitia mafunzo hayo,
ikielezwa kuwa wamefanya hivyo wakitaka kwenda kujikumbushia.
Soma Zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Siasa/-/1597332/1669540/-/bolrnxz/-/index.html
Soma Zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Siasa/-/1597332/1669540/-/bolrnxz/-/index.html
on
EPL Man U yabanwa Mbavu na Spurs, Liverpool Yaua.
Liverpool 5 Norwich City 0
Man City 3 Stoke City 0
Chelsea 2 Arsenal 1
Man U 1 Spurs 1
Man City 3 Stoke City 0
Chelsea 2 Arsenal 1
Man U 1 Spurs 1
on
Marufuku wanawake kukaa kiume kwenye pikipiki
Jiji moja nchini Indonesia ambalo
limekuwa likifuata sheria za kiislamu maarufu kama sharia, liko mbioni
kupitisha sheria ya kuwapiga marufuku wanawake kukaa kiume kwenye
pikipiki, zenye kuendeshwa na wanaume, kwa madai kuwa mkao huo
huwaondolea uthamani wao
Suaidi Yahya, ambaye ni meya wa jiji
hilo la Lhokseumawe, ameeleza kuwa, mpango huo umelenga katika kutunza
mila na desturi za watu na tayari vipeperushi kwa ajili ya kusambaza
taarifa juu ya kusudio la mpango huo, vimeshaanza kusambazwa mitaani.
Chini ya sheria mpya, meya huyo anasema
kuwa, wanawake wataruhusiwa tu kupanda pikipiki wakiwa wamekaa kiupande
upande (kike), kwakuwa kukaa kiume ni ukiukwaji wa sheria za kiislamu.
“Ukimuona mwanamke amekaa kiume kwenye
pikipiki, anaonekana kama mwanaume tu, lakini akikaa kike, anaonekana
kama mwanamke kweli” amesema meya huyo na kuongeza pia kuwa, watu wenye
kupanda pikipiki na kukaa mkao wa kike, pia hawapati ajali za kuanguka
kwa urahisi.
Mamlaka za mji huo, zinatarajiwa kuanza
kufanya mapitio ya muswada huo katika muda wa mwezi mmoja na ikiwa
wataridhia basi utapitishwa na kuwa sheria ndogo ya jiji hilo.
Alipoulizwa ikiwa wanawake ambao
hawatatimiza sharti hilo watachukuliwa hatua, meya huyo alijibu “ndio,
mara tu itakapopitishwa na kuwa sheria rasmi, hakika kutakuwa na adhabu
itayotolewa”
Hata hivyo, muswada huu, umekutana na
vipingamizi toka kwa watu mbalimbali akiwemo mwanaharakati wa masuala ya
kiislamu, Ulil Abshar Abdalla, mwenye makazi yake kwenye mji mkuu wa
Indonesia wa Jakarta.
“Uendeshaji au upakiaji wa pikipiki
haujawekewa kanuni katika quran tukufu wala kwenye hadith za kiislamu
ambazo ndio chimbuko la maelekezo yetu” amesema mwanaharakati huyo
on
Kampuni ya Tigo yagoma kupunguza gharama za simu.
WAKATI Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwasilisha rai
ya kupunguza gharama za mwingiliano wa simu , Kampuni ya Tigo imekataa
kufanya hivyo kwa madai kuwa itahatarisha uwekezaji wake kwa punguzo la
asilimia 69.
Msimamo huo wa Tigo, umekuja baada ya TCRA
kukutana na wadau wa mawasiliano jana jijini Dar es salaam, ili
kukusanya maoni kuhusu mapendekezo ya kupunguza gharama ya mtandao mmoja
kwenda mwingine. Hatua hiyo inalenga katika kuwasaidia wananchi kumudu
gharama za mawasiliano ya simu.Naibu Mkurugenzi wa Utekelezaji wa Kanda wa
TCRA, Victor Nkya, alisema punguzo hilo ni la kutoka asilimia 35 hadi
asilimia 69 na kwamba litaanza kutumika Machi mosi mwaka huu na kukoma
Desemba 31 mwaka 2017 .
Nkya alisema punguzo la gharama ya kupiga
mtandao mmoja kwenda mwingine kwa mwaka 2013 litakuwa asilimia 34.92,
mwaka 2014 asilimia 32.40, mwaka 2015 asilimia 30.18, mwaka 2016
asilimia 28.57 na mwaka 2017 ni asilimia 26.96.
Zaidi Fuatilia hapa : http://www.mwananchi.co.tz/-/1597570/1668454/-/xkrt34/-/index.html
on Thursday, January 17, 2013
Supersport TV kurusha Mzunguko wa pili Ligi kuu Bara (Ligi kuu Vodacom )
MZUNGUKO wa pili ya Ligi Kuu ya Vodacom utaanza Januari 26
mwaka huu huku kukiwa na maombi ya televisheni ya SuperSport kuonyesha mechi za
Super Week kama ilivyokuwa katika mzunguko wa kwanza.
Raundi tano za awali katika ratiba ya mzunguko wa pili
zinabaki kama zilivyo wakati nyingine zilizobaki zitatolewa baada ya kuingiza
mechi za Super Week.
on
PEP GUARDIOLA KUTUA UJERUMANI KUINOA BUYERN MUNICH
HATIMAYE KILE KITENDAWILI WAPI KOCHA WA ZAMANI WA BARCA PEP GUARDIOALA WAPI MSIMU UJAO WA LIGI BARANI UROPA ATASAINI KAMA KOCHA KIMETEGULIWA NA SASA AMEPATA KANDARASI YA KUINOA BUYERN MUNICH YA UJERUMANI KWA MIAKA 3, KUANZIA JUNE 2013 VILABU AMBAVYO VILIKUWA VIKIMWANIA NI PAMOJA NA MAN CITY NA CHELSEA VYA ENGLAND.
PEP NI MIONGONI MWA MAKACHO WENYE MAFANIKIO MAKUBWA DUNIANI.
PEP NI MIONGONI MWA MAKACHO WENYE MAFANIKIO MAKUBWA DUNIANI.
on
DCI Manumba alazwa Aga Khan.
HALI ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la
Polisi (DCI), Kamishna Robert Manumba ni mbaya na amelazwa katika Chumba
cha Wagonjwa Mahututi (ICU), Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.Habari zilizopatikana jana zilieleza kuwa
Manumba amelazwa hospitalini hapo baada ya kusumbuliwa na maradhi
kadhaa, ikiwamo figo.
Taarifa za ndani kutoka Jeshi la Polisi zilisema jana kuwa tangu juzi, Manumba alikuwa hajitambui baada ya kuugua malaria ghafla na hali hiyo ilisababisha pia figo zake zote mbili kushindwa kufanya kazi.
“Alitakiwa kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu,
lakini ilishindikana kwa sababu hajitambui, wakajaribu kumzindua,
ikashindikana,” kilieleza chanzo hicho cha habari ndani ya jeshi hilo.
Habari zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1667476/-/11r4xlt/-/index.html
Habari zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1667476/-/11r4xlt/-/index.html
on
Dr Shein vows defence of the Union as Isles mark 49 of Revolution.
Zanzibaris marked 49 years of the 12 January 1964
revolution, as Isles President Dr Ali Mohammed Shein defended the Union,
describing it as the “cornerstone” of prevailing peace, unity, and
harmony in both Zanzibar and the entire United Republic.
“Our Union is firm and since its founding
has earned our country great esteem internationally,” remarked the
soft-spoken but tough Isles leader in a speech to mark the Zanzibar
revolution in festivities at Amaan Stadium.
The celebrations were attended by ordinary
people and high-profile figures from both sides of the Union, including
retired President Ali Hassan Mwinyi, former Isles Presidents Abeid
Amani Karume and Dr Salmin Amour, present and former prime ministers
Mizengo Pinda and Frederick Sumaye, and senior government officials.
Also in attendance were members of the
diplomatic corps, representatives of political parties, civil societies
and ordinary people.
In his address, Dr Shein said despite some
challenges facing it, the Union has registered significant strides—in
terms of political, economic and social development and strengthening of
peace and stability.He, however, admitted that last year
Zanzibar witnessed incidents sowing chaos and violence that were later
on controlled by defence and security organs, which painted a bad
picture on the history of Tanzania as a haven of peace.
But he warned that Isles government will
continue taking punitive and firm measures against perpetrators of
violence and destructive elements, noting that “we will not tolerate
such activities at all.”
on
UTAFITI: Watoto wa kike wanaelewa haraka darasani kuliko wa kiume
UTAFITI mpya wa masuala ya elimu umebainisha kwamba wanafunzi wa kike hufanya vizuri zaidi darasani kuliko wanafunzi wa kiume.
Matokeo ya utafiti huo, uliofanywa hivi karibuni
na wataalamu wa elimu kutoka vyuo vikuu vya Georgia na Columbia vya
nchini Marekani, umebaini kuwa watoto wa kike wa kati ya umri wa miaka
sita hadi 12, huelewa kwa haraka darasani kuliko watoto wale wa kiume.
Wameeleza kuwa wanafunzi hao wa kike huwa makini
zaidi kumsikiliza mwalimu anapokuwa akifundisha darasani, tofauti na
watoto wa kiume, ambao hutumia muda mwingi kufanya mambo mengine ikiwamo
kucheza, kuchokozana na pengine kugombana wao kwa wao.
Matokeo hayo yaliyochapishwa katika Jarida la
Rasilimali Watu la Marekani na kuandikwa kwenye mtandao wa Daily Mail,
yanaonyesha kuwa utafiti huo uliangalia uwezo wa watoto zaidi ya 5,000
katika Kusoma, Hisabati na Sayansi.
Watafiti hao kwa kuangalia alama za majaribio
mbalimbali na maoni ya walimu, waligundua kuwa hata katika hatua za
awali (chekechea), alama za watoto wa kike zimekuwa juu siku zote
ikilinganishwa na alama za watoto wa kiume.
Mmoja wa watafiti hao, Christopher Cornwell,
anasema kuwa ujuzi wa wanafunzi hao, ndiyo njia kubwa inayotumiwa na
walimu kuwapanga wanafunzi wao katika madaraja.
Aliongeza kuwa kuna vigezo sita vya kupima uwezo
wa watoto, ambavyo ni: Usikivu, ufuatiliaji wa kazi anazopewa darasani,
kupenda kujifunza, kusoma kwa kujitegemea, uwezo wa kubadilika kutokana
na mazingira na mpangilio wa mambo yake.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1664388/-/11r2tvs/-/index.html
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1664388/-/11r2tvs/-/index.html
on
Kura ya maoni yampa ushindi Raila Odinga uchaguzi Kenya
WAZIRI Mkuu Raila Odinga na Makamu wa Rais, Kalonzo Musyoka
wamepewa ushindi wa awali katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika
Machi 4 nchini Kenya.
Kwa mujibu wa kura ya maoni ya Infotrak, iwapo
uchaguzi ungefanyika wiki hii, Odinga anayewania wadhifa wa kuongoza
nchi hiyo kupitia muungano wa Cord angeshinda kwa asilimia 51 ya kura.
Raila ambaye ni Waziri Mkuu katika Serikali
inayomaliza muda wake ndiye mgombea urais kupitia muungano huo, pamoja
na mgombea mwenza, Musyoka ambaye ni makamu wa Rais katika Serikali
hiyo.
Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo uliofanywa na
kampuni ya Infotrak and Consulting, Raila na Kalonzo watapata asilimia
51 ya kura zote zitakazopigwa huku wapinzani wao wakuu, Uhuru Kenyatta
na William Ruto wanaowania wadhifa huo kwa tiketi ya muungano wa Jubilee
wakipata asilimia 39.
Hii ina maana kuwa iwapo mambo yakisalia yalivyo, uchaguzi wa urais hautaingia katika awamu ya pili.
Hii ina maana kuwa iwapo mambo yakisalia yalivyo, uchaguzi wa urais hautaingia katika awamu ya pili.
Kura hizo za maoni pia zinaonyesha mgombea urais
wa Muungano wa Amani, Naibu Waziri Mkuu, Musalia Mudavadi na Muungano
wa Eagle unaoshirikisha na Peter Kenneth na Raphael Tuju wanashika
nafasi ya tatu kwa kuzoa asilimia 3 ya kura hizo.
Wagombea wengine wanaoshiriki katika uchaguzi huo wa urais kwa tiketi za vyama vyao bila kuungana na vyama vingine,
Martha Karua na Professa James Ole Kiyiapi wamepata asilimia 0.3 na 0.1.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Angela Ambitho alisema kuwa katika utafiti huo, watu 1,500 walihojiwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Angela Ambitho alisema kuwa katika utafiti huo, watu 1,500 walihojiwa.
Alisema kura hiyo ilifanyika kabla ya Mudavadi
kuteuliwa rasmi kama mgombea urais wa muungano wa Amani unaoshirikisha
chama chake cha United Democratic Forum (UDF), Kanu na New Ford Kenya.
Utafiti huo ulifanyika kati ya Desemba 28 mwaka jana na Januari 2 mwaka huu katika kaunti 25 kwenye mikoa yote nchini.Chanzo Mwananchi
on
EPL weekend : Chelsea, Man U & City Zatakata.
Chelsea 4 Stoke City 0
Man U 2 Liverpool 1
Man City 2 Arsenal 0
Matokeo mengine tembelea
http://www.premierleague.com/en-gb/matchday/results.html
Man U 2 Liverpool 1
Man City 2 Arsenal 0
http://www.premierleague.com/en-gb/matchday/results.html
on
Aomba asichaguliwe asipotimiza ahadi.
MBUNGE wa Jimbo la Iringa ,Mchungaji Peter Msigwa amewataka
wakazi wa Kijiji cha Kigonzile, katika Manispaa ya Iringa kutomchagua
katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ikiwa hatatimiza ahadi ya kuwapelekea
maji na barabara katika kipindi hiki cha uongozi wake.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara
uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kigonzile juzi, Msigwa
alisema amepania kuwafikishia maji na barabara wakazi wa kijiji hicho
ili kuwapunguzia kero ya kutafuta maji na adha ya usafiri.
“Ninajua kero ya maji na barabara ndizo zinazowatesa wakazi wa kijiji hiki hususani wakina mama, lakini niseme tu kwamba suala la maji, nimefurahi kuna mfuko mnaendelea kuuchangia deni lililobaki ninalimalizia sasa na kuhusu barabara tayari nimeshaleta greda nitahakikisha barabara hii inatengenezwa, nisipotimiza ahadi hizi msinipigie kura mwaka 2015,”alisema Msigwa.
Soma zaidi : http://www.mwananchi.co.tz/habari/-/1597578/1662934/-/vk5saf/-/index.html
on Saturday, January 12, 2013
SADC Summit 2013 Dar es Salaam predged to send troops to stabilise DRC.
Tanzania is among four Southern Africa Development Community (SADC)
member countries, which have pledged to send troops to the Democratic
Republic of Congo (DRC) in a bid to end a crisis between Kinshasa
government and the rebels in the eastern part of the country. This was revealed in Dar es Salaam
yesterday during a media briefing at which a communiqué was read
following a two-day Extraordinary Summit of the SADC’s organ on
Political Defence and Security Cooperation.The other countries that have also pledged
to send troops under the Neutral International Force (NIF) are Malawi,
Namibia and South Africa.
Reading the communiqué, the SADC Executive
Secretary, Tomaz Salomao said the regional community urged the other
member countries to follow suit.
“The Summit welcomed the pledges made by
Malawi, Namibia South Africa and Tanzania to contribute to the
deployment of the NIF and urged those who have not yet done so, to do so
as a matter of urgency,” noted Salomao.
He added that the Summit welcomed the
United Nations (UN) support for the deployment of the NIF through the
proposed UN Framework concept for Intervention Brigade in the Eastern
DRC and expressed its readiness to work with UN.
Salomao said the summit, attended by four
heads of state and governments noted with appreciation the good
collaboration between SADC and the International Conference for the
Great Lakes Region (ICGLR) on the development in the Eastern DRC ant it
reiterated the call for an urgent attention to the grave humanitarian
situation in the DRC.
However, when asked on the size of the
contribution from countries that have made pledges, President Jakaya
Kikwete who chaired the Summit said that aspect was yet to be
determined.
on
UDSM campus to hosts Games of 40 universities
More than 40 universities will compete at the coming Eastern Africa
University Games (EAUG) scheduled to take off next month in Dar es
Salaam.
The organising committee chairman, Professor Yunus Mgaya, said yesterday that the games will take place from February 8 to 12.
President Jakaya Kikwete will grace the opening ceremony of the
eighth regional championship to be hosted by the University of Dar es
Salaam under the auspices of the Tanzania Universities Sports
Association (TUSA), he said, noting that preparations were going on
well.EAUG is an event organized on a rotational basis among
universities, to bring together students from scores of universities in
the region.
Mgaya said students from within the region meet and compete in
various sports and exchange views on various educational and social
issues.
Through these games, students socialise, make friends and
integrate, he said, noting that the competing teams will be accommodated
at Mabibo Hostel.
Sports disciplines to be competed at the event are soccer, netball,
basketball, volleyball, track and field events, swimming, chess, rugby,
hockey and handball.
on
Sakata la gesi Mtwara, Baba wa Taifa akumbukwa
SAKATA la wakazi wa Mkoa wa Mtwara kupinga rasilimali ya gesi
ghafi asilia inayovunwa katika kijiji cha Msimbati mkoani humo kupelekwa
Dar es Salaam kwa njia ya bomba limepamba moto huku viongozi wa Chama
cha Wananchi (CUF), wakitumia hotuba na nukuu za kauli za Baba wa Taifa
Mwalimu Julius Nyerere kuhamasisha wananchi kumuenzi mwasisi huyo wa
taifa kwa kuupinga mradi huo.
Katika mkutano mkubwa uliofanyika jana Mtaa wa
Sinani mjini hapa viongozi wa CUFWilaya ya Mtwara Mjini, walikuja na
mbinu mpya ya kuhamsisha wananchi kuendelea na msimamo huo kwa kutoa
hotuba za nukuu ya kauli za Baba wa Taifa kuhusu mustakabali wa hali ya
maisha ya wananchi katika mazingira ya wachache kuwakandamiza wengi.
Saidi Kulaga, Katibu wa CUF Wilaya ya Mtwara mjini
alisema kinachotokea leo kwa wakazi wa mikoa ya Kusini ni kumuenzi
Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambaye kwa nyakati tofauti
alinukuliwa akionya viongozi kuandamiza wengi.
Katibu huyo akisoma karatasi ya nukuu hizo kutoka
katika kitabu cha ‘Reflection on Leadership in Africa’ kilichopigwa
chapa na VUB University Press, 2000 alisema mwasisi huyo wa Taifa
katika kitabu hicho amenukuliwa akisema
Habari zaidi http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1663260/-/11r24q6/-/index.html
Habari zaidi http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1663260/-/11r24q6/-/index.html
on Friday, January 11, 2013
Depression in Children: A silent killer.
According to the Diagnostic Statistical Manual for Mental
Health, an online medical journal, depression is a mood disorder
characterised by either sadness or loss of interest in pleasurable
activities accompanied by at least four additional symptoms drawn from a
list which may include changes in appetite or weight, or in sleep and
psychomotor activity, decreased energy, feelings of worthlessness or
guilt, difficulty in thinking, concentrating or making decisions,
recurrent thoughts of death or suicidal ideation/ plans/ attempts.
In children and adolescents, one’s mood may seem
more irritable or cranky as opposed to being sad or of a depressed
nature. The child may also feel that life is hopeless, could be
discouraged or “down in the dumps”.
In noting the causes of depression, the journal
indicates that children are faced by different psychosocial stressors
within the environment. However, from a bio psychosocial perspective,
these psychosocial stressors could be biological, psychological and
social.
It states: “Every child has the resources
necessary to deal with these stressors. A breakdown in these resources,
say failure for one to cope adequately, results into depression or
depressive symptoms. Stressors include death of a parent, divorce, poor
grades, and bullying, low self-esteem, among others.
Read more : http://www.monitor.co.ug/Magazines/Health---Living/Depression-in-Children--A-silent-killer/-/689846/1661780/-/12xq2h3z/-/index.html
Read more : http://www.monitor.co.ug/Magazines/Health---Living/Depression-in-Children--A-silent-killer/-/689846/1661780/-/12xq2h3z/-/index.html
on